Siri ya Jina la Mwezi wa Muharram, Maana za Miezi 12 ya Kiislamu na Wajibu wa Muumini

Sifa zote njema zinamstahiki Allah (Subhanahu wa Ta'ala), Mola wa walimwengu wote, aliyekadiria nyakati na akajaalia miezi kuwa kipimo cha ibada na maisha ya mwanadamu. Swala na salamu zimfikie mwalimu wa ummah, Mtume Muhammad (Swallah Llahu 'alayhi wa sallam), kizazi chake na maswahaba zake waliotunza misingi ya dini hii kwa uaminifu mkubwa. Kila mfumo thabiti wa maisha kuna alama zake za utambulisho, na katika Uislamu, Kalenda ya Hijriyah ndio dira yetu kuu ya nyakati. Hata hivyo, Waislamu wengi wamezoea kutumia majina ya miezi hii bila kufahamu chimbuko lake, maana zake, na wajibu uliopo ndani ya kila mwezi. Kupitia makala hii kabambe kutoka jukwaa lenu la AMAN VISSION , tutazama kwa undani kuelewa siri iliyopo nyuma ya jina la mwezi wa Muharram , maana za miezi yote 12, na mambo anayotakiwa kuyatekeleza Muumini katika kila kituo cha mzunguko wa mwaka. Siri ya Jina Muharram: Je, Lilitokana na Tukio Gani? Neno "Muharram" (المحرّم) kihisaba...

Fomu ya Wanafunzi wa Online


AMAN VISSION

FOMU YA USAJILI WA MWANAFUNZI WA ONLINE (MTANDAO)
TAARIFA ZA MWANAFUNZI
ANWANI YA MAKAZI (MAHALI ULIPO)
TAARIFA ZA MLEZI / MDHAMINI (Kama Mwanafunzi ni Chini ya Miaka 18)
MAANDALIZI YA MASOMO YA ONLINE
VITENGO VYA MASOMO NA ADA ZA MWEZI (ONLINE)
OFFA MAALUMU: Kwa wanafunzi watakaosajili vitengo kuanzia vitatu (3) na kuendelea, kuna fursa ya kupata punguzo la gharama kulingana na maelewano maalum yatakayofanyika na Mwalimu.
MASHARTI YA MASOMO YA ONLINE
1. Ada ya kila kitengo cha masomo hulipwa kwa kila mwezi kulingana na vitengo alivyochagua mwanafunzi.
2. Mwanafunzi wa Online anapaswa kuwa na app ya WhatsApp na programu nyingine zitakazoelekezwa na mwalimu kwa ajili ya kupokea masomo na kuwasilisha kazi.
3. Ni wajibu wa mwanafunzi kuhakikisha ana bando la internet la kutosha ili kuzuia kukosa vipindi au majaribio.
4. Mwanafunzi ataruhusiwa kujionea mfumo wa masomo kwa wiki moja (Wiki ya majaribio) kabla ya kuanza kulipa ada rasmi.
TAARIFA ZA KIELIMU & LENGO
AHADI YA MWANAFUNZI

Comments