Siri ya Jina la Mwezi wa Muharram, Maana za Miezi 12 ya Kiislamu na Wajibu wa Muumini

Sifa zote njema zinamstahiki Allah (Subhanahu wa Ta'ala), Mola wa walimwengu wote, aliyekadiria nyakati na akajaalia miezi kuwa kipimo cha ibada na maisha ya mwanadamu. Swala na salamu zimfikie mwalimu wa ummah, Mtume Muhammad (Swallah Llahu 'alayhi wa sallam), kizazi chake na maswahaba zake waliotunza misingi ya dini hii kwa uaminifu mkubwa. Kila mfumo thabiti wa maisha kuna alama zake za utambulisho, na katika Uislamu, Kalenda ya Hijriyah ndio dira yetu kuu ya nyakati. Hata hivyo, Waislamu wengi wamezoea kutumia majina ya miezi hii bila kufahamu chimbuko lake, maana zake, na wajibu uliopo ndani ya kila mwezi. Kupitia makala hii kabambe kutoka jukwaa lenu la AMAN VISSION , tutazama kwa undani kuelewa siri iliyopo nyuma ya jina la mwezi wa Muharram , maana za miezi yote 12, na mambo anayotakiwa kuyatekeleza Muumini katika kila kituo cha mzunguko wa mwaka. Siri ya Jina Muharram: Je, Lilitokana na Tukio Gani? Neno "Muharram" (المحرّم) kihisaba...

Fomu ya Ushirikiano wa Walimu


AMAN VISSION

MAOMBI YA USHIRIKIANO WA WALIMU
Karibu AMAN VISSION: Tunawakaribisha walimu wabobezi na wenye nia ya dhati kujiunga nasi katika kueneza elimu sahihi ya Kiislamu. Lengo letu kuu ni kutekeleza falsafa ya "Reach Beyond Limits".

Tunatafuta washirika wenye maadili mema, uelewa mpana wa masomo ya dini, na uwezo wa kufundisha kwa ubunifu mkubwa ili kuwaandaa wanafunzi wetu katika mifumo yetu mitatu ya Kambi (Boarding), Kutwa (Day), na Online (Mtandao). Tafadhali jaza fomu hii kwa usahihi ili uongozi uweze kupitia maombi yako.
TAARIFA BINAFSI ZA MWALIMU
TAARIFA ZA TAALUMA NA UFUNDISHAJI

Comments