Siri ya Jina la Mwezi wa Muharram, Maana za Miezi 12 ya Kiislamu na Wajibu wa Muumini

Sifa zote njema zinamstahiki Allah (Subhanahu wa Ta'ala), Mola wa walimwengu wote, aliyekadiria nyakati na akajaalia miezi kuwa kipimo cha ibada na maisha ya mwanadamu. Swala na salamu zimfikie mwalimu wa ummah, Mtume Muhammad (Swallah Llahu 'alayhi wa sallam), kizazi chake na maswahaba zake waliotunza misingi ya dini hii kwa uaminifu mkubwa. Kila mfumo thabiti wa maisha kuna alama zake za utambulisho, na katika Uislamu, Kalenda ya Hijriyah ndio dira yetu kuu ya nyakati. Hata hivyo, Waislamu wengi wamezoea kutumia majina ya miezi hii bila kufahamu chimbuko lake, maana zake, na wajibu uliopo ndani ya kila mwezi. Kupitia makala hii kabambe kutoka jukwaa lenu la AMAN VISSION , tutazama kwa undani kuelewa siri iliyopo nyuma ya jina la mwezi wa Muharram , maana za miezi yote 12, na mambo anayotakiwa kuyatekeleza Muumini katika kila kituo cha mzunguko wa mwaka. Siri ya Jina Muharram: Je, Lilitokana na Tukio Gani? Neno "Muharram" (المحرّم) kihisaba...

Wasiliana Nasi


Wasiliana Nasi

Karibu AMAN VISSION: Tunaongozwa na falsafa ya "Reach Beyond Limits" katika kutoa elimu bora ya Kiislamu na malezi ya kiroho.

Vitengo vya Masomo yetu:
  • 1. Qur'aan na Tajwiid
  • 2. Hadiith na Sunnah
  • 3. Fiqhi na Al-Usuul
  • 4. Aqidah na Tawhiid
  • 5. Taariikh na Siirah
  • 6. Lugha ya Kiarabu (Nahwu, Swarfu, Khattw, Imla, Taabiir, Al-Kitaabah na Al-Qira'ah)
  • 7. Adyaan, Misingi ya Da‘awah na Maadili ya Kiislamu.
Mifumo ya Mafunzo: Tunafanya kazi kupitia mfumo wa Kambi (Boarding), Kutwa (Day), na Online (Mtandao) ili kuhakikisha maarifa sahihi yanakufikia popote ulipo duniani.

Namna ya Kuwasiliana: Jaza fomu hii kwa usahihi ili kutuma maombi au maswali yako moja kwa moja kwa uongozi. Mwalimu wa Kiislamu: Aman Ismail Hussein na timu yake wapo ready kukupa majibu ya haraka ili kukuongoza katika safari yako ya kielimu.

Ofisi ya Aman Vission

Mwalimu wa Kiislamu: Aman Ismail Hussein

Makao Makuu ya Aman Vission:
S.L.P. 170, Maswa.
Nchi: Tanzania | Mkoa: Simiyu
Wilaya: Maswa | Kata: Isanga
Kijiji/Mtaa: Funika

Comments