Home Fomu ya Wanafunzi wa Kambi Fomu ya Wanafunzi wa Kambi AMAN ISMAIL HUSSEIN June 15, 2026 AMAN VISSION FOMU YA USAJILI WA MWANAFUNZI WA KAMBI / BWENI TAARIFA ZA MWANAFUNZI Jina Kamili * Jinsia * Chagua jinsia... Mwanaume Mwanamke Umri * Tarehe ya Kuzaliwa * Uraia * Namba ya Simu * Namba ya WhatsApp * Barua Pepe (Email) ANWANI YA MAKAZI Nchi * Mkoa * Wilaya * Kata * Kijiji / Mtaa * Anwani Kamili * TAARIFA ZA MLEZI / MDHAMINI Jina Kamili la Mlezi / Mdhamini * Uhusiano na Mwanafunzi * Chagua uhusiano... Baba Mama Kaka Dada Ndugu Mjomba Shangazi Mlezi Mdhamini Msikiti Madrasa Taasisi Mwingine Namba ya Simu ya Mlezi * Namba ya WhatsApp ya Mlezi Anwani ya Mlezi TAARIFA ZA AFYA Je, una tatizo lolote la afya? Hapana Ndio Mtu wa Dharura wa Kuwasiliana Naye * Namba ya Simu ya Dharura * Eleza kwa ufupi kama lipo tatizo la afya MFUMO WA MASOMO Njia ya Kujifunza * Chagua njia... Kambi Kutwa Online Tarehe Unayotarajia Kuwasili * VITENGO VYA MASOMO NA ADA ZA MWEZI OFFA MAALUMU: Kwa wanafunzi/wazazi watakaosajili vitengo kuanzia vitatu (3) na kuendelea, kuna fursa ya kupata punguzo la gharama kulingana na maelewano maalum yatakayofanyika na Mwalimu. Qur'aan na Tajwiid — Tsh 50,000 kwa mwezi Hadiith na Sunnah — Tsh 45,000 kwa mwezi Fiqhi na Al Usuul — Tsh 50,000 kwa mwezi Aqiidah na Tawhiid — Tsh 45,000 kwa mwezi Taariikh na Siirah — Tsh 50,000 kwa mwezi Lugha ya Kiarabu (Nahwu, Swarfu, Khattw, Imla, Taabiir, Al-Kitaabah na Al-Qira'ah) — Tsh 60,000 kwa mwezi Adyaan, Misingi ya Da‘awah na Maadili ya Kiislamu — Tsh 50,000 kwa mwezi Muda wa Masomo * Chagua muda... Mwezi 1 Miezi 3 Miezi 6 Miezi 12 Mwaka 1 Miaka 2 Miaka 3 Chagua Kituo cha Mafunzo Unachotaka (Markaz/Madrasa) * Tafadhali chagua kituo... MASJID AL RAHMAAN - Maswa, Isanga, Funika MASJID ÀRAFAH - Maswa, Masela, Mwasayi MASJID ABUU BAKAR - Maswa, Bugarama, Bugarama Chagua Mwalimu Unayetaka Akufundishe * Aman Ismail Hussein MASHARTI YA ADA NA MASOMO 1. Ada ya kila kitengo cha masomo hulipwa kwa kipindi cha mwezi mmoja tu kulingana na kitengo au vitengo alivyochagua mwanafunzi. 2. Ada hizi hutumika kusaidia uendeshaji wa masomo, ikiwemo maandalizi ya majaribio ya kila siku, mitihani ya kila wiki na mitihani ya mwisho wa mwezi kwa kila kitengo cha masomo. 3. Mwanafunzi ataruhusiwa kujionea mazingira na mfumo wa masomo kwa muda wa wiki moja kabla ya kuanza kulipa ada. 4. Mwanafunzi anaruhusiwa kuchagua kitengo kimoja au zaidi ya kimoja wakati wa usajili. 5. Baada ya kuanza rasmi masomo, mwanafunzi hataruhusiwa kuongeza kitengo kipya mpaka amalize kipindi cha masomo ya vitengo alivyovisajili. 6. AMAN VISSION itamuwezesha mwanafunzi kupata sehemu ya kulala (malazi) bila malipo katika kipindi chote cha mafunzo. 7. Mwanafunzi anapowasili kituoni anatakiwa kuja na mahitaji yake muhimu ya binafsi, ikiwemo mavazi ya heshima yanayozingatia maadili ya Kiislamu, tandiko la kulalia na mahitaji mengine muhimu ya matumizi ya kila siku. 8. Mwanafunzi atapatiwa kifungua kinywa pamoja na chakula cha mchana bila malipo. Chakula cha usiku kitakuwa jukumu la mwanafunzi mwenyewe. 9. Wanafunzi wote wanatarajiwa kuzingatia ratiba za masomo, maadili ya Kiislamu, nidhamu, usafi na taratibu zote za kituo katika kipindi chote cha mafunzo. TAARIFA ZA KIELIMU Kiwango cha Elimu ya Kiislamu Mwanzo Cha Kati Kimeendelea Tamhiid Mutawassitwah Thaanawiy Je, umewahi kusoma Madrasa? Ndiyo Hapana Jina la Madrasa / Ustadh uliowahi kusoma LENGO LA KUJIFUNZA Eleza kwa kifupi lengo lako la kujifunza * AHADI YA MWANAFUNZI Ninakubali kufuata sheria, maadili, ratiba na miongozo yote ya AMAN VISSION katika kipindi chote cha masomo. Nimemsoma na nimeelewa masharti ya ada, mafunzo na taratibu zote za AMAN VISSION, na nakubali kuyazingatia. JISAJILI SASA KWA WHATSAPP Tags About Author Author - AMAN ISMAIL HUSSEIN I am Best Writer
No comments:
Post a Comment
Karibu kutoa maoni yako. Tafadhali andika kwa heshima, maadili na lugha yenye kujenga jamii.