Home Fomu ya Wanafunzi wa Kutwa Fomu ya Wanafunzi wa Kutwa AMAN ISMAIL HUSSEIN June 16, 2026 AMAN VISSION FOMU YA USAJILI WA MWANAFUNZI WA DAY / KUTWA TAARIFA ZA MWANAFUNZI Jina Kamili * Jinsia * Chagua jinsia... Mwanaume Mwanamke Umri * Tarehe ya Kuzaliwa * Uraia * Namba ya Simu * Namba ya WhatsApp * Barua Pepe (Email) ANWANI YA MAKAZI Nchi * Mkoa * Wilaya * Kata * Kijiji / Mtaa * Anwani Kamili * TAARIFA ZA MLEZI / MDHAMINI Jina Kamili la Mlezi / Mdhamini * Uhusiano na Mwanafunzi * Chagua uhusiano... Baba Mama Kaka Dada Ndugu Mjomba Shangazi Mlezi Mdhamini Msikiti Madrasa Taasisi Mwingine Namba ya Simu ya Mlezi * Namba ya WhatsApp ya Mlezi Anwani ya Mlezi TAARIFA ZA AFYA Je, una changamoto yoyote ya afya? Hapana Ndio Mtu wa Dharura wa Kuwasiliana Naye * Namba ya Simu ya Dharura * Maelezo ya Afya (Kama Yapo) MFUMO WA MASOMO Njia ya Kujifunza * Chagua njia... Kutwa Kambi Online Tarehe ya Kuanza Masomo * VITENGO VYA MASOMO NA ADA ZA MWEZI OFFA MAALUMU: Kwa wanafunzi/wazazi watakaosajili vitengo kuanzia vitatu (3) na kuendelea, kuna fursa ya kupata punguzo la gharama kulingana na maelewano maalum yatakayofanyika na Mwalimu wa Kiislamu: Aman Ismail Hussein. Qur'aan na Tajwiid — Tsh 10,000 kwa mwezi Hadiith na Sunnah — Tsh 10,000 kwa mwezi Fiqhi na Al Usuul — Tsh 10,000 kwa mwezi Aqiidah na Tawhiid — Tsh 10,000 kwa mwezi Taariikh na Siirah — Tsh 10,000 kwa mwezi Lugha ya Kiarabu (Nahwu, Swarfu, Khattw, Imla, Taabiir, Al-Kitaabah na Al-Qira'ah) — Tsh 15,000 kwa mwezi Adyaan, Misingi ya Da‘awah na Maadili ya Kiislamu — Tsh 10,000 kwa mwezi Muda wa Masomo * Chagua muda... Mwezi 1 Miezi 3 Miezi 6 Mwaka 1 Miaka 2 Miaka 3 Chagua Kituo cha Mafunzo Unachotaka (Markaz/Madrasa) * Tafadhali chagua kituo... MASJID AL RAHMAAN - Maswa, Isanga, Funika MASJID ÀRAFAH - Maswa, Masela, Mwasayi MASJID ABUU BAKAR - Maswa, Bugarama, Bugarama Chagua Mwalimu Unayetaka Akufundishe * Aman Ismail Hussein MASHARTI YA ADA NA MASOMO 1. Ada ya kila kitengo hulipwa kwa kipindi cha mwezi mmoja kulingana na kitengo au vitengo alivyochagua mwanafunzi. 2. Ada hizi husaidia uendeshaji wa masomo, majaribio ya kila siku, mitihani ya kila wiki na mitihani ya mwisho wa mwezi kwa kila kitengo. 3. Mwanafunzi ataruhusiwa kujionea mazingira na mfumo wa masomo kwa muda wa wiki moja kabla ya kuanza kulipa ada. 4. Mwanafunzi anaruhusiwa kuchagua kitengo kimoja au zaidi wakati wa usajili. 5. Baada ya kuanza rasmi masomo, mwanafunzi hataruhusiwa kuongeza kitengo kipya mpaka amalize kipindi cha masomo ya vitengo alivyovisajili. 6. Wanafunzi vya mfumo wa Day/Kutwa watahudhuria masomo kwa ratiba rasmi ya kituo na kurejea makwao baada ya vipindi vya masomo kumalizika. 7. Wanafunzi wote wanatarajiwa kuzingatia maadili ya Kiislamu, nidhamu, usafi, heshima kwa walimu na ratiba zote za masomo. 8. AMAN VISSION ina haki ya kufanya marekebisho ya ratiba au taratibu za masomo pale itakapolazimu kwa manufaa ya wanafunzi na maendeleo ya elimu. TAARIFA ZA KIELIMU Kiwango cha Elimu ya Kiislamu Mwanzo Cha Kati Kimeendelea Tamhiid Mutawassitwah Thaanawiy Je, umewahi kusoma Madrasa? Ndiyo Hapana Jina la Madrasa / Ustadh uliowahi kusoma LENGO LA KUJIFUNZA Eleza kwa kifupi lengo lako la kujifunza * AHADI YA MWANAFUNZI Ninakubali kufuata sheria, maadili, ratiba na miongozo yote ya AMAN VISSION katika kipindi chote cha masomo. Nimemsoma na nimeelewa masharti ya ada, mafunzo na taratibu zote za AMAN VISSION na nakubali kuyazingatia. JISAJILI SASA KWA WHATSAPP Tags About Author Author - AMAN ISMAIL HUSSEIN I am Best Writer
No comments:
Post a Comment
Karibu kutoa maoni yako. Tafadhali andika kwa heshima, maadili na lugha yenye kujenga jamii.